moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,133
- 770,212
Hahahaha


Kula hela ya mwanamke ni lazima uwe na taimingi


Bado hajampata anayemtaka?
Viongozi wa hiyo nchi ni kama walozi.







Hahahaha







Aiseee, ukisikia Amani na Utulivu ndiyo huo sasa.Kwenye Defender utaanzajeView attachment 2025143


Tuliokolewa kimiujiza aiseeIlibakia kidogo tu tufike huku
AiseeeeeeUshawahi kupigwa hadi ukachakaa.View attachment 2021285





Ahsante mzee wa yutong,shusha tutani hapoMungu Asante
Endelea kunilinda mimi pamoja na wapendwa wangu. Na memba wote wa uzi huu uwalinde Baba ili tuendelee kucheka na kufurahi kama ndugu japo hatujuaniView attachment 2024800

Ni kweli alivyokuwaga na sasa ni tofauti, lakini hayo manyama nyama kwenye makwapa ni shida aiseeMbona hapo kawa fidodido?






Pole Sana,utakuwa sawaAmen, namshukuru Mungu hata sasa napumua.....mana juz nlipata ajali mbaya saana lkn nashukuru Mungu naendelea vzur. Gar imeharbika mnooo(me n dereva wa malori) lkn nashukuru Mungu nmetoka salama ingawa nina maumivu ya hapa na pale lkn nitakuwa sawa.
kama babu yangu sybAnkali umeshakula?Yanga yaachana na Kabwili kwa kosa la "Ulegevu wa mwili"View attachment 2024867View attachment 2024868
Ukiona mpaka Askofu anadanganya jua Dunia inakaribia mwisho


