Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Ahadi Kwa wananchi kutoka Kwa wabunge zimetizwa ?

IMG_20211123_194900.jpg
 
Amen, namshukuru Mungu hata sasa napumua.....mana juz nlipata ajali mbaya saana lkn nashukuru Mungu naendelea vzur. Gar imeharbika mnooo(me n dereva wa malori) lkn nashukuru Mungu nmetoka salama ingawa nina maumivu ya hapa na pale lkn nitakuwa sawa.​
Pole Sana,utakuwa sawa

Nawapenda madereva wa magari makubwakama babu yangu syb

Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom