..............haikuwa rahis hakika, kapata kajibwa anakoweza kukahimili 🤣🤣🤣🤣🤣, haikuwa rahisiView attachment 2019025
Aliyemremba ahukumiwe kifungo cha miaka 10 jela, khaaaa! N bora angemuacha "nachuro"



mrembaji inaonekana kadoda nyumbanHaifk nusu saa loooh! 🤣🤣🤣🤣 nitakuwa najiandaa duniaKama tunakwenda date nikija kukuchukua huwa nasubiri kwa nusu saa tu. Ikizidi hapo naondoka zangu....