Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nikopeshe jero
Umepata rafiki.. Chagua ya sarafu au ya noti
tanzania-500-shilingi-mia-tano-currency-banknote-187792-1.jpg
5f58e45e38c745.91707287-original.jpg
 
. Ikiendelea hivi mwaka kesho kutakuwa na njaa kubwa. Sijui ndo mabadiliko ya tabia nchi hata haieleweki. Ila tumerejesha mahusiano yetu ya kimataifa. Hatutakosa misaada ya chakula

View attachment 2005079
Mwanzo wakati JPM ameingia madarakani mvua iligoma tena nchi nzima. Ilifika kipindi akapiga stop wakuu wa wilaya kutangaza njaa.
 
Mila za kiafrka zngne n kuharibiana mionekano woooi, bora zijifie tu hizo mila zszo na mantiki.


Vuta hisia n maumivu gan aliyapitia wakat wa tukio, s poa asee
Tohara tunaiona ni sawa kwakua na wazungu wanafanya. Kila kibaya cha wazungu na mwafrika lazima akione kinaya. Ushajiuliza maumivu yanayotoka wakati wa mwanaume kutajiriwa?
 
Tohara tunaiona ni sawa kwakua na wazungu wanafanya. Kila kibaya cha wazungu na mwafrika lazima akione kinaya. Ushajiuliza maumivu yanayotoka wakati wa mwanaume kutajiriwa?
  • sjamaanisha hivyo, tohara kwa wanaume imethibitshwa kitaalamu kwamba akiachwa bla kutahiriwa kuna madhara kiafya. Na weng wao hufanyiwa tohara wakiwa watoto wa mwaka mmoja hapo hata maumivu hawez kuyasmulia.
Niambie kwa hao pichani n madhara gan ya kiafya wanayapata endapo wataachwa na midomo yao mizur kama awali
 
Back
Top Bottom