Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,934
- 12,482
Aliyethibitisha usalama wa tohara ni mzungu pia. Niambie kipi kilifanywa na mweusi akakithibitisha kisha mzungu akapinga lakini kikaendelea kuaminiwa.Niambie kwa hao pichani n madhara gan ya kiafya wanayapata endapo wataachwa na midomo yao mizur kama awali
- sjamaanisha hivyo, tohara kwa wanaume imethibitshwa kitaalamu kwamba akiachwa bla kutahiriwa kuna madhara kiafya. Na weng wao hufanyiwa tohara wakiwa watoto wa mwaka mmoja hapo hata maumivu hawez kuyasmulia.
Jiulize kuna tofauti gani kati ya wadada wanaofanya surgery ili kuwa na mwonekano wa kuvutia na hawa waethiopia kipi kina madhara zaidi lakini kinapewa promo na kinaonekana bora?
Kiassumba - Servette (Switzerland)
HAKUNA MCHEZAJI WA AS VITA WALA TP MAZEMBE.....





