Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1636663671467.jpg
 
Kwa hiyo Bwana Ndugai anatuona sote ni wabunge wa kuweza kutupangia nini cha kuzungumza dhidi bunge linaloketi Dodoma kwa kodi zetu? Mamlaka yake yanaishia kwa Wabunge tu. Kama bunge ni dhaifu litabaki kuwa hivyo; na katu ukali wake kwa wakosoaji wake hakulifanyi kuwa na nguvu.
 
Back
Top Bottom