CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,044
Imeshuja. Haina ishu.
Imeshuja. Haina ishu.
Ishachuja hii.
Imechuja kwa mujibu wa nani? Kwani hakuna members wapya?Hii imeshachuja. Tafuta mpya.
Good question.Imechuja kwa mujibu wa nani? Kwani hakuna members wapya?


Mama si kasema watu waachwe waseme?








Are you offended? Naamini hii ni forum huru, hiyo power ya ku-dictate nipost kitu gani unaitoa wapi.Hii ni mara ya 60 hii picha kuwekwa humu. Tafuta mpya.

Nayo ishatumwa humu majuzi tu.
Don't engage....Are you offended? Naamini hii ni forum huru, hiyo power ya ku-dictate nipost kitu gani unaitoa wapi.
Nipe 'ban' kama una uwezo huo or you can opt not to see my posts. View attachment 2007209
