Loh! Hapa ukiwakuta njian utadhani n wakishua kumbe.........hayo mawig na makucha sasa, wanajitambulisha kama wanachuo😊
Watu wengi wameharibu figo na maini kwa kunywa madawa ambayo hayaeleweki eti kisa wanenepeshe mjulus. Just be content with what God gave you na imarisha techniques za mashambulizi tu. Mtu unameza mavidonge yametoka China huko sijui wapi wakati hata hujui kilichomo. Are you serious?
Hapo ndo kakonda 😳............ss tufimbo twa pooltable tutaweka wapi sura zetuNaifahamu hiyo pisi. Siku hizi imejikondesha mpaka msambwanda wote umekwisha yaani. Hovyo tu. Mpaka nimei-unfollow Instagram kwa utopolo huu iliyoufanya
Zamani wakati imenenepa vizuri
View attachment 2006126
Siku hizi
View attachment 2006127
Lini utaanza kunitumia unazokutana nazo huko kitaa kama tulivyokubaliana?
Hicho kitako kimefanyaje au me namakengeza 🤪Wananzengo nisaidieni ninachokiona ni sahihi au macho ya uzee haya.
Maana hizi nywele za CEO wa Simba zinanishangazaView attachment 2006294
Ukwas haujifch 🤣Ni mamilionea wasioonekana![]()
Na bado yan, tatawafurahisha tu hakuna namnaWanawake mnatuuzia mbuzi kwenye juniaView attachment 2006325
Yaan wee acha tu, unapakwa povu machoni ili usifumbue macho kuwaangalia watu......ukifungua unakutana na povu likiingia machoni ukianza kulia unapigwaaaa yan daah😔😔😔
S bora usmpost tu jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sura syo roho 🤣🤣🤣🤣🤣
Mshirikishe mume wake, mpate kujua tatzo n nnWANAGROUP Naombeni ushauri Wenu
Mke wa jirani Yangu hashiki Mimba
Nifanyaje?![]()
Kazi na dawa