Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1636561084009.jpg
 
Ha ha ha!! ila kweli mwanamke ninayekusudia kuoa kabisa bora aniongopee, ila asiwe mkweli alivyonyanduliwa na wanaume, kama vipi hata aniambie aliliwa na mmoja na alilazimishwa tu hakufahi wala hakupenda.....
Sema mwanaume kama umempata unayetaka kumuoa acha hayo maswali ya historia, yatakutesa bure maana sisi wanaume tunaishi kiushindani zaidi, tunapenda kujilinganisha na tuna ego na kiburi tangu udogoni, na ndio maana mke akichepuka ndoa huwa imeisha hiyo, hata mkirudiana haiwi tena ndoa, maana kila ukimla unawaza hilo dushe alilolifuata huko, urefu na unene wake, kwamba kama mwanaume umezidiwa na limwanaume lingne huko limemla mkeo, yaani kwa kiburi chetu haitokuja siku upone, bora kuvunja ndoa tu.
Uko sahihi kabisa mkuu. Hawa mabinti (hasa hawa wa kisasa hawa) hawajui kabisa saikolojia ya wanaume. Binti umemkubali kabisa yaani ndo waifu matirio halafu anaanza kukusimulia jinsi ex wake wa pili alivyokuwa na mjurubeng mkubwa wa kutisha mpaka mara ya kwanza uligoma kuingia.

Unauliza kwa unyonge. Huyu boya mlidumu naye kwa miaka mingapi?

Tangu nikiwa sekandi yia mpaka nilipomaliza chuo na mwaka mmoja wa uraiani. Yeye aliniacha chuo ila tulikuwa tukifunga chuo nakwenda kwake Musoma.

Sasa hapo ukipiga mahesabu kuwa waifu matirio wako katandikwa na njemba hii yenye mjurubeng wa kutisha kwa miaka mi3+ unawaza tu huko chini si kutakuwa kumechakazwa sana? Hapo hapo unamtoa kwenye uwaifu matirio unaamua tu nawe utandike hilo lapulapu halafu usepe.

Na kama kweli umeamua kumuoa basi ni afadhali sana usiulize hilo swali vinginevyo kila ukiwaza ukweli utakaoambiwa utakuwa unasumbuka sana. Yaani Lodge Town unaiona hii hapa kabisa...
 
Back
Top Bottom