




Yupo sehemu ya Upepo,Angalia vzur MkuuChuplichupli bila shaka
Naifahamu hiyo pisi. Siku hizi imejikondesha mpaka msambwanda wote umekwisha yaani. Hovyo tu. Mpaka nimei-unfollow Instagram kwa utopolo huu iliyoufanya





Lini utaanza kunitumia unazokutana nazo huko kitaa kama tulivyokubaliana?Ujinga wako utajulikana siku huyo baby dad aliyekimbia mtoto watakapokutana na mkeo. Kiporo kitakachopashwa hapo kitaacha shibe ya karne!
@Mshana Jr Huyu bwana bado ni waziri kule Sudan Kusini?
Thank you for your honesty young man. As for me...



Uko sahihi kabisa mkuu. Hawa mabinti (hasa hawa wa kisasa hawa) hawajui kabisa saikolojia ya wanaume. Binti umemkubali kabisa yaani ndo waifu matirio halafu anaanza kukusimulia jinsi ex wake wa pili alivyokuwa na mjurubeng mkubwa wa kutisha mpaka mara ya kwanza uligoma kuingia.Ha ha ha!! ila kweli mwanamke ninayekusudia kuoa kabisa bora aniongopee, ila asiwe mkweli alivyonyanduliwa na wanaume, kama vipi hata aniambie aliliwa na mmoja na alilazimishwa tu hakufahi wala hakupenda.....
Sema mwanaume kama umempata unayetaka kumuoa acha hayo maswali ya historia, yatakutesa bure maana sisi wanaume tunaishi kiushindani zaidi, tunapenda kujilinganisha na tuna ego na kiburi tangu udogoni, na ndio maana mke akichepuka ndoa huwa imeisha hiyo, hata mkirudiana haiwi tena ndoa, maana kila ukimla unawaza hilo dushe alilolifuata huko, urefu na unene wake, kwamba kama mwanaume umezidiwa na limwanaume lingne huko limemla mkeo, yaani kwa kiburi chetu haitokuja siku upone, bora kuvunja ndoa tu.






sio wadada tu hata Kwny kundi kubwa kama Ilo liwe la wanawake lazima mtu utembee miendo ya Aina tofaut tofaut
