Hii mambo inaharibu ndoa nyingi,sasa si angeomba ushauri kablaa?!
Mmh! sema huwezi kuelewaKujiendekeza
Mmmh huendi mbinguniMtoto kalegea lakini dogo bado analemba, fasta amuwahishe ghetto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo mema kama hayo nisiende mbinguni tena,Mmmh huendi mbinguni




mjukuu. Sijambo kabisa
Shikamoo babu Asee,unajua kuna muda unavurugwa unatamani hata babu yako angekuwa anakuona![]()








Wewe utaisikia kwa jiran