MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,481
- 53,343
Ha ha ha!! Kuna pisi la kwetu Kenya tulikutana South Sudan, nikalinunulia wine nyingi tu na mazagazaga mengine, kufika chumbani likaniambia bila dollars $100 halivui chupi, tuliagana papo hapo.
Nzuri sana hii.
Hahaha mapenzi hayanaga kabila kamanda mkalie kimya mtu ambaye humpendi au umemchoka! Mtu unayempenda ukimkalia kimya itakula kwako maana utakayeumia ni wewe!Hujawahi kuniangusha hata siku moja. Nakukubali sana wewe na Wanyaki wote po pote mlipo
View attachment 1996995
Hongera sana kamanda. Huo ndo uanaume sasaHa ha ha!! Kuna pisi la kwetu Kenya tulikutana South Sudan, nikalinunulia wine nyingi tu na mazagazaga mengine, kufika chumbani likaniambia bila dollars $100 halivui chupi, tuliagana papo hapo.



BagoshaHujawahi kuniangusha hata siku moja. Nakukubali sana wewe na Wanyaki wote po pote mlipo
View attachment 1996995
