Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mjitahidi kuzilinda mila zenu kama wenzanu wamasai aisee.
Maana tabia hii ya Wasukuma kuhama hama kinapunguza baadhi ya mila zao, kwakuwa baadhi ya maeneo wanaiga mila za wenyeji.
Juzi nilikuwa mkoa furani kwenye hii mikoa ambayo Wasukuma wameivamia kwa wingi.
Amefika hapo nyumbani kwa wenyeji bint mmoja wa Kisukuma alinisalimia juu kwa juu, yaani sikuamini.
Alikuwa na msambwanda?
 
Wahenga mpo.
Watoto angalieni tu
FB_IMG_1635890619576.jpg
 
Back
Top Bottom