Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1635838817027.jpg
 
Mdaiwa kama hana mali zinazofanana na deni lake mdai anaruhusiwa kumpa kazi za kufanya kwa muda maalum ambao mahakama itauridhia ili kufidia madeni ya muhusika.
Kwahiyo unaweza kumpeleka nyumbani kwako akaoshe vyombo, afagie nyumba, afue nguo za familia nk.
Ikiwa kazi za aina hiyo mathalani mshahara ni 300,000 kwa mwezi.
Zitapigwa hesabu kutokana na deni unalodai.
Atafanya mpaka hela anayodaiwa imalizike.
Kwa huyu mwanaharakati huru anaweza kujikuta kwenye mazingira hayo kama atashindwa kuwalipa Membe na Fatma Karume.
Tujitahidi kuheshimu watu hata kama mbele yako kuna Kigogo anayeweza kukulinda kwa wakati huo.
Maana sheria haina ulinzi wa kigogo
Hiyo ya kumfanyisha kazi kama kumfanya mlinzi wa shamba na kuwa ndiyo awe mkulima kwenye kiunga cha miogo kwa kifupi tunaiita 'mwana ukome'.
 
Back
Top Bottom