Kuna ukweli mwingi katika hili...hasa kwa wapenzi ambao hawajakomaa!
wasiokomaa wanakuwaje
HahahaKwa mwanamke mweupe sisi Wasukuma tunaweza kutoa ng'ombe zizi zima na hela zote za pamba. Tena ukiwa mrefu una msambwanda halafu umesoma soma hivi uwiii...
View attachment 1991513
Shiiiimbaaa
HahahaHuyu baharia dah
View attachment 1991505
Labda...
View attachment 1991508View attachment 1991509View attachment 1991510

Tamaa tuHuyu baharia dah
View attachment 1991505
Labda...
View attachment 1991508View attachment 1991509View attachment 1991510
,itakuwa hana wazazi mpuuzi huyu
Hii ni awesome idea lazima ifanyiwe kazi, hata 'mgeni' husika akiingia lazima ajue ameingia kwenye maskani ya 'shughuli' hivyo aombe kabisa maji ya kunywa ya kutosha yasiwe mbali na uwanja wa vita yaani yawe yanafikika bila kuharibu kindumbwendumbwe.
Hii ni moja ya 'kitu' ambayo wanaoishi nje ya Tz humiss sana, nchi ya vitumbua vya moto. Nchi nyingine hazina hii 'kitu'.Kabisa yaani...tena ukipate kitumbua cha moto kimeumuka chenye mafuta mafuta kinene uwiiii !!!
View attachment 1991492