Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,015
- 828,775
- Thread starter
- #79,701
HahahahaDokta mloziView attachment 1988905

HahahahaDokta mloziView attachment 1988905

No zake unazo unipatie nnakaz nae!Babu mkuna naziView attachment 1986444
Hujajua.
Hapo anawapa taarifa wana kuwa demu keshaingia geto waje wapige chabo
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app



ujinga huo
Nikutumie au nikuletee?
umechelewa......usiku mwemaEeDah..![]()
,Mkiombwa hamtoi mamaa!!!Baadhi ya wanaume wanamambo ya ajabu sana,,,,tamaa za hovyo kabisaView attachment 1988825
Mie bado kwanza,muda ukifika babu atanitafutiaWife material.
Babu yako SHIMBA YA BUYENZE akutafutie mume sasa umekua.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app



Na tukitoa mnatuchukulia poaMkiombwa hamtoi mamaa!!!
...kila MTU apambane na hali yake
Mbona mamantilie wanatuuzia kila siku na hatuwachukulii kama wake zetu?Na tukitoa mnatuchukulia poa...kila MTU apambane na Bali take
![]()
Wapo weny misimamo yao bhna, hii n dhana tu watu wamejiwekea. Kuna wanaolewa hawajawa na watt lkn bado wanaendelea na "maeksi" wao, kila mtu na misimamo yake sema ndo watu huwajumuisha wooote bila kujali kuna weny kujitambua😎Ushauri wa hovyo kabisa huu. Siku wakikutana na baba mtoto kiporo lazima kipashwe tu. Changamoto kubwa iko hapo kwa hawa watu. Hawana msimamo...![]()
Wanakuwa wazuri na vchwa vyao vnakuwa vdogo vya mvringo🤪 hawana mauchogo makubwa 😎
Walimuacha mtoto wao wa 5yrs ndani ya soko kwenye banda lao la biashara,.......usiku saa 8,mlinzi akasikia mtoto analia
,mlinzi akawafuata wazazi wake eti walilala kabisa walisema eti walimsahau

Hapa nitaona kabsa nimeenda mtambulisha mtu hayuko sawa kwny afya yake ya akili😎