Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1635391435214.jpg
 
Ushauri wa hovyo kabisa huu. Siku wakikutana na baba mtoto kiporo lazima kipashwe tu. Changamoto kubwa iko hapo kwa hawa watu. Hawana msimamo...[emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Wapo weny misimamo yao bhna, hii n dhana tu watu wamejiwekea. Kuna wanaolewa hawajawa na watt lkn bado wanaendelea na "maeksi" wao, kila mtu na misimamo yake sema ndo watu huwajumuisha wooote bila kujali kuna weny kujitambua😎
 
Tupe kishort story

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Walimuacha mtoto wao wa 5yrs ndani ya soko kwenye banda lao la biashara,.......usiku saa 8,mlinzi akasikia mtoto analia[emoji23],mlinzi akawafuata wazazi wake eti walilala kabisa walisema eti walimsahau[emoji23]

Niki kituko kilishangaza jamii wallah

Raia wakasema,wakinga hao,mambo yao wanayajua wenyewe[emoji2902]
 
Back
Top Bottom