Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1635391435214.jpg
 
Ushauri wa hovyo kabisa huu. Siku wakikutana na baba mtoto kiporo lazima kipashwe tu. Changamoto kubwa iko hapo kwa hawa watu. Hawana msimamo...
Wapo weny misimamo yao bhna, hii n dhana tu watu wamejiwekea. Kuna wanaolewa hawajawa na watt lkn bado wanaendelea na "maeksi" wao, kila mtu na misimamo yake sema ndo watu huwajumuisha wooote bila kujali kuna weny kujitambua😎
 
Tupe kishort story

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Walimuacha mtoto wao wa 5yrs ndani ya soko kwenye banda lao la biashara,.......usiku saa 8,mlinzi akasikia mtoto analia,mlinzi akawafuata wazazi wake eti walilala kabisa walisema eti walimsahau

Niki kituko kilishangaza jamii wallah

Raia wakasema,wakinga hao,mambo yao wanayajua wenyewe
 
Back
Top Bottom