Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_20211028_082427.jpg
 
Walimuacha mtoto wao wa 5yrs ndani ya soko kwenye banda lao la biashara,.......usiku saa 8,mlinzi akasikia mtoto analia[emoji23],mlinzi akawafuata wazazi wake eti walilala kabisa walisema eti walimsahau[emoji23]

Niki kituko kilishangaza jamii wallah

Raia wakasema,wakinga hao,mambo yao wanayajua wenyewe[emoji2902]
[emoji2960][emoji2960]
 
Back
Top Bottom