Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,858
- 136,485
Nataka kujuaAnkali mbona una maswali mabaya!![]()

Nataka kujuaAnkali mbona una maswali mabaya!![]()

Ushauri wa hovyo kabisa huu. Siku wakikutana na baba mtoto kiporo lazima kipashwe tu. Changamoto kubwa iko hapo kwa hawa watu. Hawana msimamo...Oeni wenye watoto,mpate thwabuView attachment 1988887



Huyu dogo kapoteana au kapelekwa boarding skuli

Makanisa yanapaswa kuwa ya watenda dhambi. Nyie mmeyageuza kuwa sehemu za kufanyia maigizo, shobo na mazingaombwe. Anayeingia na bia ndo hasa yuko mahali pake...Kama unaingiza na bia kanisani, umeshindikana, unahitaji maombi ya hali ya juu.

Ushauri mzuri bana babuUshauri wa hovyo kabisa huu. Siku wakikutana na baba mtoto kiporo lazima kipashwe tu. Changamoto kubwa iko hapo kwa hawa watu. Hawana msimamo...![]()
,,,unajitolea,unafanya vile haujali lolote,maisha yanasongaAnkali unaambiwa ana nyege mbaya halafu unauliza nyege ni kitu gani!!Mwenzenu kam....mbuzi......
huwa una stream ile mitandao eeh😂 kuna mwamba aliweka video afu title akaandika "nobody who watch p*rn cares about the title"
Inamaana kuna sampuli ya nyege,mbaya nk......enyiwei tuishie hapaAnkali unaambiwa ana nyege mbaya halafu unauliza nyege ni kitu gani!!
Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app

huwa una stream ile mitandao eehkuna mwamba aliweka video afu title akaandika "nobody who watch p*rn cares about the title"



waaapi hiyo picha nilipata shida kuielewa,hadi nikaulizia