Anolway
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 158
- 591
Wacha we!!Siyo lazima ni kujiendekeza tu!
Nitaacha ila sio sasa.Acha uvivuu
Huyu ngosha wamembun tena au naona vibaya!!Hiyo ya kizungu sana bana
Hizi nguo ifike pahala ziwe zinakuja na shape, sio fair kabisa.
Huyu ngosha wamembun tena au naona vibaya!!
Mnyaki kaona mtandaoni naye akaagizaHizi nguo ifike pahala ziwe zinakuja na shape, sio fair kabisa.



Ananiombea ban huyo likely. Ashindweee !!!
Jamani jamani, si unaona hapo uko bannedAnaniombea ban huyo likely. Ashindweee !!!



Shindwaaa; sio shepu ya kinyaki hiyoMnyaki kaona mtandaoni naye akaagiza![]()
Ananiombea ban huyo likely. Ashindweee !!!
Naitunza hii kama kumbukumbu. Sitandikwi ban tena!



Mods walishanionya mara mbili nikashupaza shingo...Ila ban nzuri inapumzisha. Nakuombea nawe siku moja ulimwe ya mwezi mzimaHamna bana, anakuonea tu huruma na ukorofi wako kwa mods





Si unaona hapo inaonekana bannedNaitunza hii kama kumbukumbu. Sitandikwi ban tena!![]()

