Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hiyo ni baada ya miaka mitano

KabisaZambi nyingine hata shetani anazishangaa![]()
Yaani unajikuta wewe ndiyo unaanza kumuomba mdaiwaji akulipe deni lakoHiyo ni baada ya miaka mitano![]()
Wapo wa hivyo,,unadai hadi unaona unamkera mdaiwaYaani unajikuta wewe ndiyo unaanza kumuomba mdaiwaji akulipe deni lako

Wapo wa hivyo,,unadai hadi unaona unamkera mdaiwa![]()
Kwema kakaHahaha
Kwema lakini mkuu

Kauli hii,,,'NIKIPATA,NITAKUPA,NAKUMBUKA SANA KAMA UNANIDAI"....hapa huwa ni kupotezea tuKazi kweli kweli. Unabembeleza utafikiri sip hela yako
Kauli hii,,,'NIKIPATA,NITAKUPA,NAKUMBUKA SANA KAMA UNANIDAI"....hapa huwa ni kupotezea tu
Ni mtihani kwakweli.,Yaani siku hizi kukopeshana ni mtihani