Kipara cha Pombe ndiyo safi
HahahahaNida hawajanipa namba yangu,miaka inapitaView attachment 1969182

UtamlaAaah hapa lazima uogope
Aiseee......Yangu ya kwanza nilifanya na changudoa maana nilikua mdomo zege, alinitukana sana maana sikua najua namna ya kutikisa mauno.
Jibu umelipataHahahaha![]()

Macho yanatisha aiseeUtamla
Siyo kila kitu Pesa inatatuaHiyo inaitwa future impossible tense
Kwa mchecheto nitakaokua nawo sitapata fursa ya kuyaskia hayo....nitaliamsha hata kabla hajaanza kusema chochote.




