Vituko mitandaoni. Tupia chako

Napendaga kuangalia tu,vile raia wanavyotoa ushuhuda,

Nafrahi kuona watu wakiponywa na kutoa ushuhuda[emoji41]

mUNGU ni mwema wakati wote[emoji120]
Tatizo hao wanaotoa ushuhuda wa kuponywa wote huwa ni wageni; na baada ya hapo hutawaona tena. Viwete unaowafahamu hapo hapo mtaani kamwe huwa hawaponywi. Ni viwete wageni waliokaa sehemu mbalimbali strategically kwenye mkutano...ila na miujiza ya kweli ipo na siyo hizi drama za kufufua wafu za akina Bishop Rashidi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kimekaa kama maiki[emoji3061]....kazi yake nini??View attachment 1966001
Hitachi hiyo hatari. Kuna mmoja alijitekenya nayo akafikia mshindo mzito akapasua mishipa ya damu kwenye ubongo mwaka na kitu yupo kwenye coma. Ni kakifaa kazuri pia kama unataka kuhakikisha kama demu wako anaweza kurusha maji (squirt) ama la!

Na ni kweli. Mkeo au mpenzi wako akiwa nako basi jua kuwa kazi yako imekuwa ngumu sana. Ni afadhali umfume ana gunia la matango kuliko hii Hitachi [emoji16]
 
Kumbe[emoji3061]
 
Hilo dude lote[emoji16]hovyoooo
Haliingii ndani mjukuu. Lina sensor maalum za kusisimua nerves za kiharage kwa spidi unayoitaka. Mshindo utakaoupata hapo utajishangaa. Na kama hujawahi kurusha maji siku hiyo waweza lowanisha godoro ukiwa peke yako [emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Wanasemaga wanafuatiliaga maombi kwenye TV,wakipona wanafunga na safari hadi dar kwenda kutoa ushuhuda[emoji41]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]loh,Dunia ya MUNGU vitu vya mzungu[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…