Jana ulikuwa kwa Mwamposa leo umehamia WRM,au unafanya utalii wa kiroho

Nzi anaishi siku 28,hii ya kuishi Siku saba nani alisema?
Umeshindwa kuvumilia !Nzi anaishi siku 28,hii ya kuishi Siku saba nani alisema?
Na wepesi wa kuliwa nundu ndo wepesi wa kuachwa mapema.. kiuchumi tunaita Marginal diminishing return
Nimeshindwa kuvumilia aisee,maana huu uzushi umekuwa wa muda sanaUmeshindwa kuvumilia !
,uongo ukiachwa unageuka ukweli,humu tunaburudika na kuelimikaNdio maana wamekuwekea vidonge ili mwili ukifa ganzi umeze
Umealikwa au unataka kutualika
Hii ukimtumia mwanasekondari anamuonesha mpaka mamaake!!




Hiyo mashine imepigwa cheni mshkaj kajishikiza hapo ili ajifurahishe na mapichapichaLadha ya mjaniView attachment 1961800
Km ataendelea kubisha kuhusu 43 mim nitakua shahid wakoNimefikisha 43 ghafla mamaa!!
Nashukuru Mkuu!!Km ataendelea kubisha kuhusu 43 mim nitakua shahid wako