Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wahindi na Cobra
Michezo ya hatari.
FB_IMG_1632473313228.jpg
 
Ubaya siku hizi haya mambo wameyageuza kama mashindano. Pressure tupu utafikiri mtu unafanya homework. Hela umpe na bado uhangaike kumfikisha kileleni. Mimi kama amenilipisha pesa au magharama mengine huko hata nitumie sekunde moja I am done. Atakwenda akafikishwe kileleni na mabaharia zake huko.

Tendo zuri na lenye karama sana limegeuzwa kuwa mashindano badala ya intimacy na kufurahia...
Wanataka kutufanya watumwa.
Starehe ni yangu, ndiyo maana naingia kwenye gharama za kila aina, bado unilazimishe nikufikishe kileleniIli iweje?

Pumbavu sana
 
Mkuu na wengine ukikutana nae ni kama umeenda kazini. Yaani mkianza tu,anakupa kazi ya kumsugua kine......yaani utasugua mpaka miko iume.
Hawa wa hivi nikikutana nae ni mate au wese namaliza akasuguliwe huko aliko zoea.

Yaani mtu anataka umlipe halafu ufanye kazi ya kumfanya afurahi,mavi ya bataa.....
hahahahaha.
Utakuta mdada ana K ngumu balaa
Halafu anataka afikishwe juu ya mlima Meru
 
Back
Top Bottom