Fedha haitangazwiii,inajitangaza.
Alafu kwa life ya bongo anakuwa laki tano kwa siku chakula kipi?!
Yaani ni bora uwe masikini wa mali na sio akili,eti laki tano..
Mkumbushe walikuwepo kina Sepetu,wasumbua sana mjini kwa fake life,waulize leo,wanatamani warudishe muda nyuma.
Muhimu tuishi uhalisia,kuna siku mtu unahitaji masaada watu wanakwambia,si unatumia laki tano kwa siku, million 5 unakosaje??!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.