Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Ooh yes


Kuna zingine ngumu kweli kweli kufunguka. Inafikia wakati inabidi utumie nguvu na hapo inabidi mwenyewe tu aingilie kati "ngoja nikutolee usije ukanichania"....



Hii nyumba haianguki leo wala kesho hii. Mahusiano haya yako ngangari!

Kuna zingine ngumu kweli kweli kufunguka. Inafikia wakati inabidi utumie nguvu na hapo inabidi mwenyewe tu aingilie kati "ngoja nikutolee usije ukanichania"....
Kwema mtumishi?![]()
Inaweza kuchanwa na mpya asipate. Huku hivyo hivyo tu ila Mungu yupoIkikuzingua sana, ichane tu; utaenda kumnunulia mpya baada ya zoezi
Kwema kabisa Mtumishi; sijui kwako huko

Hii nyumba haianguki leo wala kesho hii. Mahusiano haya yako ngangari!![]()