Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,916
Amalizane na wanaijeria kwanza
Amalizane na wanaijeria kwanza
Pale makumbusho iphone 13 used tayari zipo
Vikombe mobile? Si mpaka vigonganishwe? Na hivyo vikombe kuna babu na mjukuu? Nauliza tu.Ata vikombe kabatini vinagongana,
Hasa vitoto vilivyomaliza chuo mwaka jana,ni visumbufu havina hela. Yaani mtu aniandikie x baada ya sutasubiri sanaView attachment 1939778View attachment 1939782
Kwa style ile ile ya kusinzia na anaamshwa mpira ukimalizika?Amalizane na wanaijeria kwanza
Acha kabsaaaaHovyooooooView attachment 1938969
Msukuma kasema aongezewe,hajashibaView attachment 1939805View attachment 1939806View attachment 1939807
Kenge yule naitoaaa na line navunjaAnakoseaga sms tu,MUNGU anakuonaView attachment 1938978
Labda alikua anaipambania timu kwa njia za kina mshana JrKwa style ile ile ya kusinzia na anaamshwa mpira ukimalizika?
Alisikika msukuma mmoja akisema"nipe na juisi ya mahindi"View attachment 1939809
Inabid ubun kibwagizo ambacho kitaendana na nyimbo wakat huohuo na mshukiwa nae ujumbe umfikie
KachooooooooookaUsinifananishe na yule wa tandaleView attachment 1939811
This was just about a decade ago, kapambana sana na bado anapambana.Usinifananishe na yule wa tandaleView attachment 1939811
Inakuwaje babu na mjukuu kulana,oooh labda hivyo kwa wanyama,Vikombe mobile? Si mpaka vigonganishwe? Na hivyo vikombe kuna babu na mjukuu? Nauliza tu.
Bora utumie mfano wa wanyama ambao wana uhai, mmh lakini ujue wanyama babu na mjukuu 'wanakulana'
Ex wako unamuita kengeitakuwa alikupiga kibuti cha maanaKenge yule naitoaaa na line navunja