CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Wanakera sana. Timu mbovu,halafu bado unawafanyia figisu wageni.Duuu, mkuu mbona umefika mbali sana
Basi wangeshinda,wakafungwa. Yaani kila nikiitafakari hii timu yangu sioni future kabisa.