Nilimuazima James hili koti, jameni mke wangu tulia kwanza pumua kisha tumpigie James na nitaweka simu kwenye spika ili usikie majibu yake.
Kisha hapo nampigia James na kutumia haya maneno "James mpumbavu nilikuazima koti langu ukaenda kufanya yako, haya sasa mke wangu niko naye hapa amepata chupi ndani ya mfuko, hebu ona ulivyo mjinga, mpe mke wangu majibu ya kueleweka"......bro code huwa tunaita bro code maana majibu ya James yatalinda ndoa yangu papo hapo.....hehehe!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.