Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

...
Screenshot_20210713-090346_WhatsApp.jpg
 

Hapo inabidi uwe umesha andaa ramani wapi pakutokea, na pia uwe na uhakika wa mbio zako, sema ukijikwa ndio utakua umepata ulichokua unakitafuta.
Imenikumbusha mbali sana enzi za mapambano dhidi ya utawala wa kidhalimu huku kwetu Kenya.....tulikua tunakimbizana na mapolisi hadi raha, sema ilikua wakikumata...mweee!!!
 
Back
Top Bottom