Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

-5893474319240116053_121.jpg
 
Hii nchi yaani dah!
Hata mkulima masikini naye akienda kuuza vimazao vyake ni lazima akamuliwe. Halafu ripoti ya CAG ikitoka watu wameiba mpaka kufuru. Halafu ndio hawa hawa wanajiona wajanja wanajenga majumba ya kushangaza na kusukuma ma Range Rovers. Ukisema utaambiwa unaona wivu...

Kama kweli tungekuwa na dhamira ya kuendelea kwa kodi zote hizi na tozo pamoja na mabilioni ya misaada na mikopo tunayopewa, tungeweza kabisa aisee. Lakini leo hii unakwenda vijijini huko unakuta watu wetu bado masikini wa kutupwa; wakati pesa zinachezewa tu...
View attachment 1930843
dereva nishushe kituo kijacho..nimechoka kabisa mimi
 
HAPA BUSARA INAHITAJIKA

Mwanamke kaazima ndoo ya mpangaji mwenzake chumba cha pili ambae ni kijana hajaoa.Alipomaliza kuoga akajifunga khanga yake moja akatoka bafuni akairudisha ndoo, alipofika ndani kwake akakumbuka amesahau chupi yake kwenye ile ndoo, akatoka harakaharaka vilevile na khanga moja na kugonga mlango.

Jamaa akamwambia aingie ndani aichukue, Anatoka tu mlangoni anakutana na mumewe anatoka kazini kamuona mkewe kavaa khanga moja na mkononi kashika chupi.

Je wewe ungekuwa ni mume au mchumba wake ungefanya maamuzi gani?
Maamuz yaleyale tu yanayofanywa na walioweng
 
Back
Top Bottom