Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Haji anaumwa

Ana Ugonjwa wa msononeko. Wengi wao hufikiria Tiba yake ni kuikejeli hali aliyokua nayo kabla baada ya kuondokana nayo.

Mwisho wa siku hujikuta wamezidi kuwa wapweke zaidi na kuinukia matatzo ya akili.

Ameshapoteza nguvu ya kusikilizwa. Anadhani kuwasema vibaya SSc atacreate attention kumbe watu wameshamdharau.

Kuna shida kubwa ipo mbele yake.

Sijawah na sitaandika tena kumhusu😂😂😂😂😂😂😂
 
Ana Ugonjwa wa msononeko. Wengi wao hufikiria Tiba yake ni kuikejeli hali aliyokua nayo kabla baada ya kuondokana nayo.

Mwisho wa siku hujikuta wamezidi kuwa wapweke zaidi na kuinukia matatzo ya akili.

Ameshapoteza nguvu ya kusikilizwa. Anadhani kuwasema vibaya SSc atacreate attention kumbe watu wameshamdharau.

Kuna shida kubwa ipo mbele yake.

Sijawah na sitaandika tena kumhusu
Haya maneno yataishi
 

-5879902987088935032_121.jpg
 
Mtumishi njoo hapa nyumbani unipige
Huna hili wala lile upo home unarilaksi mara anatokea binti mrefu mrembo amefungasha hatari akiwa na Biblia yake mkononi. Anafika hapo kwako na kuuliza "eti Moud ndiyo yupi hapa?". Nawe bila kusita unajitutumua ni mimi hapa na bila kusema neno anakusogelea na kuanza kukupa vitasa vya uhakika tu halafu kama alivyokuja huyooo anakwenda zake. Familia yote inaachwa imepigwa na bumbuwazi

Mtumishi hebu fanya kweli mtu ale vitasa vya kueleweka leo hii hii au kesho!
 
Ila wewe misambwanda imekuharibu sana. Kwa hiyo unaniimagnia kufungasha hadi mimi?
Huna hili waka lile upo home unarilaksi mara anatokea binti mrefu mrembo amefungasha hatari akiwa na Biblia yake mkononi. Anafika hapo kwako na kuuliza "eti Moud ndiyo yupi hapa?". Nawe bila kusita unajitutumua ni mimi hapa na bila kusema neno anakusogelea na kuanza kukupa vitasa vya uhakika tu halafu kama alivyokuja huyooo anakwenda zake. Familia yote inaachwa imepigwa na bumbuwazi

Mtumishi hebu fanya kweli mtu ale vitasa vya kueleweka leo hii hii au kesho!
 
Back
Top Bottom