Boogman
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 2,525
- 5,751
Hii niliikuta mitaa flan Ethiopia

Hii niliikuta mitaa flan Ethiopia

Kwani hayo ndio yalikuwa makubaliano?Hapo kunywa, kula unachotaka ili baadaye unipe nachotaka.
Naamini unayajua yote
Kisa?Kwakweli aiseeView attachment 1921585
Kumbe wewe ndio "roli modo" wake yule dogo



Anaenda kuwinda panya.



Kwahiyo mlishindwa kumzuia huyo snake asiingie ndani,mkaamuua kupiga picha


Dunia imebadilika sana aisee.Kuna baadhi ya wahariri ni kenge sana! Nini sasa hii??Kodi kodi tozo tozo !!!
View attachment 1921111



Huenda ikawa ile nyingine labda!?



Hayo ndiyo makubaliano yasiyo rasmiKwani hayo ndio yalikuwa makubaliano?