Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1630412103723.jpg
 
Bro hiyo kitu tulianza kula pale mtaa wa Temeke, kwa Sokota kitambo sana.
Yaani kabla ile night club ya Sugar Ray's haijajengwa pale.
Kulikuwa na mzee mmoja alikuwa anauza hizo "Hashua" miaka hiyo tukiwa wanafunzi.
Yule mzee baadaye alifariki, mwanawe akaja kuendeleza, nadhani mpaka miaka ya hivi karibuni.
Kwahiyo mwaka 2009 ilikuwa inauzwa chini ya mtoto wa hiyo mzee
Sikupata kufahamu hilo, sio mbaya kunijuza. Je inaendelea hadi leo? Nataka nipitie hapo nigonge hizo ndude nikamalizie siku yangu KISU na UMA
 
Back
Top Bottom