Aisee hapa tutasemaje
Duuh hatari. Wapumzike kwa amani
Nakusalimia kwa jina la Yesu Kristo.Unasemajeeeeeeeee?![]()
Kati ya Mpogolo, Msambaa, Mpare, Muha, Mkinga, Mmakonde, Msafa, Mndengereko au Mgoni.
shortlist.Mie,maza simu kalala nayo lakini atakuja akuamshe,simu yangu siioni nipigie kwanza,hapo inabidi uamke tu
Au utamsikia,mda ushafika wa kuondoka sijakusaidia kazi,amka si inabidi ufue leo au hautafua maana nina nguo chafu,inabidi tu uamkeView attachment 1902103