Vipi Mr Hakufanyii nini?Mmmmh nimehisi kutapika hahahaha
Naaam!Napenda kuzama chumvini na siachi! Isipokuwa sizami kizembe![]()
Usafi muhimu
Furaha inatokana na mindset. Wenye moyo wa shukrani hata kwa kidogo walichonacho ndo huwa na amani na furaha. Huyu bado mdogo na bado moyo wake ni mweupe. Subiri aje apambane na ghiliba za walimwengu, ubinafsi na malimbikizo...View attachment 1897354
Hio ni cabbage tu, imagine ingekuwa nyama....
Tena hapo ungekomaa ungeweza kumpiga huyo Msukuma ng'ombe kadhaa ili naye umjengee kama hiyo hapo kwake.
Mr?? Bado sijajuaVipi Mr Hakufanyii nini?
Afya zetu zimo mikononi mwa mtu ambaye ni mentally unstable. Hii ni hatari sana!Ndugu zangu hapa tunaweza tukawa na tatizo kubwa kuliko tunavyodhani![]()
Anakuambia,anapenda Sana,kikubwa usafiFuraha inatokana na mindset. Wenye moyo wa shukrani hata kwa kidogo walichonacho ndo huwa na amani na furaha. Huyu bado mdogo na bado moyo wake ni mweupe. Subiri aje apambane na ghiliba za walimwengu, ubinafsi na malimbikizo...


How? Hivi unafahamu lugha gani ya kigeni au ya kienyeji tuongee, maana babu yako bado hajalala, anaweza kufatilia maongezi!Mr?? Bado sijajua
Unapiga chini SHIMBA YA BUYENZE haraka ila tu uhakikishe kuwa hela zikiisha kwa hilo furushi ulikokimbilia usirudi tena kamwe kwa SYB hata kama ikitokea naye Mungu kambariki kawa na pesaKama tu vile unakutana na mwanaume ako na pesa halafu uko na SHIMBA YA BUYENZE wako unafikiri utafanyaje sasa!!





Nendeni PM. Na ya PM yabakie huko huko milele na milele. Babu wala hatawabughudhi!How? Hivi unafahamu lugha gani ya kigeni au ya kienyeji tuongee, maana babu yako bado hajalala, anaweza kufatilia maongezi!
Ongea kiswahili tu,Wala usijisumbueHow? Hivi unafahamu lugha gani ya kigeni au ya kienyeji tuongee, maana babu yako bado hajalala, anaweza kufatilia maongezi!
Hapana. Huyu siyo ostaadhi wako anayependa kuzama chumvini. Huyu ni bro mwingine aliyevutiwa na mtoto aliyefurahi sana baada ya kupata kabeji.Anakuambia,anapenda Sana,kikubwa usafi![]()
Tumia hizi dhana kwa wiki mbili nzima. Halafu uje umpate akiwa tayari. Unampata Jr. kirahisi

Hahahahahaha hii kali babuHapana. Huyu siyo ostaadhi wako anayependa kuzama chumvini. Huyu ni bro mwingine aliyevutiwa na mtoto aliyefurahi sana baada ya kupata kabeji.