Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Sasa ukiwa na watoto wanne na baba itauwaje + na wewe.Najijua kusonga ugali siwezi. Mtaula mbichi
Ugali nasonga mwisho wakula MTU mbili tu.
Kwasababu Gani......kila nikisonga ugali mama ananiambia haujaiva![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
. Mtaula mbichi



