Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Najijua kusonga ugali siwezi[emoji16]. Mtaula mbichi[emoji23]

Ugali nasonga mwisho wakula MTU mbili tu.

Kwasababu Gani......kila nikisonga ugali mama ananiambia haujaiva[emoji2902][emoji2902]
Lazima kuna mahali unakosea. Kwenye kusonga ugali hakikisha maji yamechemka sawasawa na ukiweka unga uache utokote kidogo. Na ufokasi. Siyo unapika ugali huku unachati na mabaharia. Lazima utachemsha tu!
 
Si nikaachia lipicha langu humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duuh.

Bahati nzuri wote mmesinzia hamjaliona[emoji120][emoji120]
Mi nimejiwahi nikadaunilodi chap chap. Uko vizuri sana mjukuu wangu. Kila baharia lazima alete pdf huku kwa babu kabla hajaruhusiwa kufika kwa waziri mkuu (PM) wako.
 
Vile nikitia unga naona kuchelewa vile niuache uchemke[emoji16]
Ukifuata hizo hatua hapo juu hutapika ugali mbichi au uliofubaa tena.

Nilikuwa na demu wangu Mchaga kila siku yaani ugali mbichi nikafundisha weee mpaka nikachoka ikabidi tu kumpiga chini. Kwangu mimi ni afadhali demu asiwe na tako lakini ajue kupika ugali sawasawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji870]
 
.
IMG_20210813_212528.jpg
 
Ukifuata hizo hatua hapo juu hutapika ugali mbichi au uliofubaa tena.

Nilikuwa na demu wangu Mchaga kila siku yaani ugali mbichi nikafundisha weee mpaka nikachoka ikabidi tu kumpiga chini. Kwangu mimi ni afadhali demu asiwe na tako lakini ajue kupika ugali sawasawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji870]
[emoji120]
Nimeelewa somo,,,sipendi kula chakula chenye kasoro yaan[emoji120]
 
Back
Top Bottom