Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,379
Mwamba anashinda hii kesi tena mapema tu

Mwamba anashinda hii kesi tena mapema tu

Aisee. Hii ishu ya mawigi nilikuwa siijui. Basi majuzi hapa bwana nikakokotwa mpaka dukani. Maweee! Kuna mawigi mpaka ya laki 8 mzee baba na yeye amekomalia moja la laki 3 na nusu. Shida sana haya mambo!
Aisee. Hii ishu ya mawigi nilikuwa siijui. Basi majuzi hapa bwana nikakokotwa mpaka dukani. Maweee! Kuna mawigi mpaka ya laki 8 mzee baba na yeye amekomalia moja la laki 3 na nusu. Shida sana haya mambo!
Akikataa kuja, choma nyama, piga sherehe kivyako! Hakuna kubembeleza! 🤣 🤣 🤣
View attachment 1870843
Hahahahaaaasonga kwa haropesa
Nipo makini babu,usijali.Marahabaa mjukuu. Mimi sijambo sana. Asante kunikumbuka. Jiangalie huko maporini
Asante kwa kujiangalia!Nipo makini babu,usijali.
Mjukuu na Wanyaki wote njooni. Kuna msukuma kakosa ugali huku. Leteni hata maparachichi pengine yatasaidiaView attachment 1870893
babu,hapo ni msibani au
Msibani wapi huoni wengine wanacheka tu. Msukuma kakosa ugali huyo!babu,hapo ni msibani au
![]()




Mjukuu na Wanyaki wote njooni. Kuna msukuma kakosa ugali huku. Leteni hata maparachichi pengine yatasaidiaView attachment 1870893