Picha nimeipenda sana
Hahahahaha,


Tunda likiota kwenye mazingira kama haya lina nawili kweliPicha nimeipenda sana
Sidhani, ni kama imelaaniwa ile nchi na raia wake karibu wote hawajielewi.Nchi imejaaliwa kila aina ya neema.
Kuna siku atapatikana mkongo anayejitambua itakuwa nchi moja tajiri sana.
Hiyo ipo kama Somalia ina laana si bureSidhani, ni kama imelaaniwa ile nchi na raia wake karibu wote hawajielewi.
Ilaaniwe kwa kosa gani?Sidhani, ni kama imelaaniwa ile nchi na raia wake karibu wote hawajielewi.
Kuna mtu alimeza mbegu za papai

Itakuwa ni wewe babe mbegu ziliota tumboni 😀😀😀Kuna mtu alimeza mbegu za papai![]()
Hata wakimpata kiongozi mwenye uchungu na nchi ile hatadumu kwa muda mrefu atauwawa tu. Rare minerals kama Cobalt, Titanium na Tungsten zinahitajika sana kwa sasa halafu aje kiongozi eti mzalendo ajaribu kuwazuia wazungu wasiendelee kujichotea. Hatachukua raundi nakwambia!Imelaaniwa kwa kosa gani?
Congo haijabahatika kupata kiongozi mwenye uchungu na nchi.
Ipo siku watampata.
Lakini uma hauna mbele wala nyuma ni kama kipochi manyoya tuu
Akiinama kiko nyuma akisimama kiko mbele
Akichuchumaa kiko chini![]()



brother naumwa usinitingishe