Majority ya raia wenyewe wa Congo ni kama hawajielewi, it takes more than just a good president.Ilaaniwe kwa kosa gani?
Congo haijabahatika kupata kiongozi mwenye uchungu na nchi.
Ipo siku watampata.
Sana.Hiyo ipo kama Somalia ina laana si bure
Mtu chake, another Manunu.
Kweli jezi imechafuka. Anataka atangaze kila kitu kwenye jezi ama?"Imechafuka kweli kweli, kama jezi ya Sudani"--
Haji Manara View attachment 1880357
Pole aisee. Mungu Akuguse na mkono wake wa uponyajibrother naumwa usinitingishe


Asante sana. Covid ipo, japo chanjo nayo ina mashakaPole aisee. Mungu Akuguse na mkono wake wa uponyaji![]()
Itakuwa ni wewe babe mbegu ziliota tumboni![]()
mi silagi mapapai