Nchi imejaaliwa kila aina ya neema.Maisha yanakwenda kweli enzi hizo Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Zabanga.iliyokuwa Zaire ya zamani aliifanya Zaire kama mali yake anakula bata tu,aliifilisi sana nchi huyu jamaa.
Nimecheka tu mpaka basi....ila hawa watu na movie zao, kuna kipindi natazama moja na watoto wangu halafu humo wakaonyesha mashoga yanapiga denda, yaani gays wana kiss kabisa kwenye movie ya kawaida ambayo sikutegemea upumbavu wa aina yoyote, nilijikuta nawahoji wanangu maswali ya mambo mengine hata ambayo sikujua nauliza nini.




Pole sana nduguLooh, hiyo nyonyo jamani
Hawa ndiyo sisi wafrika
Duuuuu, CCM kweli ni nomaaa
Mmmh ya kweli haya