Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1627930368929.jpg
 
Hivi visichana vinawezaje kukabiliana na watumishi wajeuri wa Halmashauri?
Hivi mh Rais anajua kweli ubabe wa madiwani ambao wana vikampuni vyao magumashi, ambavyo shughuli zao zote ni kwenye Halmashauri husika?
Tutarajie hati chafu kwa hizo Halmashauri
 
Huko Dominican Republic kuna watoto huwa wanazaliwa wakike wakikua wanakuwa wa kiume kabisa bila operation,ni kiasili kabisa,Mungu ana maajabu yake
Kuna uzi nilileta humu nimeweka video binti fulani ana mwili wa kiume na papuchi yenye dushe. Alikamatwa huko north kama sio west Africa, watu walimpiga sana jamaa anayemtafuna huku wakishangaa papuchi ile
 
Back
Top Bottom