moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,142
- 770,234
Muhogo wa Jang'ombe
Muhogo wa Jang'ombe
Thanks najua huwezi kutenda hivyonakutania tu my love. Najua huo ndio uoga wako
Njoo unichumu sasaThanks najua huwezi kutenda hivyo

Mazuri.Mambo vipi mjomba,
My wangu.
Babe
tayari ile case yetu nimeanzisha uzi huko
Aiseee nakuomba kafute please
Mtaachana tunakutania tu my love. Najua huo ndio uoga wako






Katika penzi nitapambana hadi kifo ni hili sitokubali tuachane Kirahisi mkuu
kuachana kupo tu. Cha muhimu uhaiKatika penzi nitapambana hadi kifo ni hili sitokubali tuachane Kirahisi mkuu
jamani Love. Umenifariji sanaKatika penzi nitapambana hadi kifo ni hili sitokubali tuachane Kirahisi mkuu
Nawatania tu ndugu zangu. Mola Awabariki mkafunge ndoa na muishi kwa furaha, amani na upendo mpaka kifo kitakapowatenga. Kila mtu na aseme _____________kuachana kupo tu. Cha muhimu uhai
Nawatania tu ndugu zangu. Mola Awabariki mkafunge ndoa na muishi kwa furaha, amani na upendo mpaka kifo kitakapowatenga. Kila mtu na aseme _____________
nafahamu. Mwaka huu hauishi hujala pilau nyumbani kwangu nakwambia