Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kidogo tu aisee
Screenshot_20210802-033431.jpg
 
Ni kweli vijana wengi wa Carwash hasa hapo kwa Ngosha opp na Mahakama ya Dodoma wana mtindo wa kutaka kukabidhiwa funguo ili wakimaliza wasogeze wakalikaushe, huyu dogo baada ya ajali kweli akajifanya chizi lkn wamemdhibiti
 
Kibaya ukute hana bima kubwa,lazima uweukee.
Gari zuri likiwa linatembea,na mmiliki unapesa ya wese,kinyume na hapo ni pambo kama mapambo mengine nyumbani.
Ndio maana naona bora ujenge nyumba kuliko kununua gari kwa maana nyumba hata kama ingekua ni ajali ya kuungua moto ama kubomoka, kiwanja kitaendelea kubaki hata tent utajenga na kuishi kwenye kiwanja (Ardhi kila siku inapanda bei)
 
Back
Top Bottom