Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Mapenzi bana 








Dahh utoto huu
,kama dkk 5 hivi zimeenda mpk kuelewa hapo wakubwa wanafanya nini 


Hii una download tu mtandaoni we google tu gbwhatsappHiyo GB WhatsApp ina maajabu gani. Naisikia sikia tu. Na inapatikanaje?
Mambo yenu hayoHadi raha![]()




Nilivipenda sana hivi vitambu. Kuna beste yangu m'bongo akirudi KE lazma angekuja navyo ila nisionekane na baba nikivisoma. 😂 😂 😂 😂 Pisi zimebeba nundu hatari hatari humo dadeq! 🤣
Dua la mweweTuko pamoja mjukuu. Huwa wakifungwa nchi nzima inatulia yaani.
Dah tunatofautiana kwa kweli dollar million 44 unanunua mjengo. Yaani mie nafanya kama mswati tuu...ni kuvuta bikra mupya mupya tuuNchi zetu hizi ni shida. Huyo mtoto wa rais wa Equatorial Guinea - Teodoro Obiang Nguema Mbasogo anaishi maisha ya kifahari hata mastaa wa Hollywood wakasome. Dogo halafu ni show off balaa. Aliwahi kununua huu mjengo kule Beverly Hills jirani na akina Anodi Shwazenega kwa dola milioni 44 keshi. Mpaka wanaharakati walipopaza sauti na serikali ya Marekani kuanza kufuatilia utajiri wake wa kupindukia ndo akaliuza pamoja na msururu wa magari ya kifahari. Yaani hela za mafuta na gesi za Equatorial Guinea hazijamsaidia mtu wa kawaida kabisa. Na kama ulivyosema, hali ni hiyo hiyo karibu bara zima japo kwa viwango tofauti tofauti. Ufisadi ndiyo tatizo nambari wani kwa bara hili tajiri lakini masikini ajabu. Afadhali hata nyie huko Kenya mmepiga vihatua hatua kidogo kimaendeleo japo sina uhakika kama ni maendeleo (jumuishi) ya watu.
View attachment 1872884
Wazo kama langu ...Dah tunatofautiana kwa kweli dollar million 44 unanunua mjengo. Yaani mie nafanya kama mswati tuu...ni kuvuta bikra mupya mupya tuu