Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

1627108842874.png
 
Nchi ya matukio hii. Moto wa miamala ulipamba moto...watu wakaambiwa waende Burundi...mama akatoa maagizo wizara husika sijui zifanyeje...mara paap Mbowe ndani kwa ugaidi. Twitter na mitandao yote inamwongelea Mbowe. Miamala naona ndo imetoka hiyo. Mbowe ataachiwa na hakuna atakayekumbuka miamala tena hasa kama katukio kengine katafuatia. Bongo !!!
View attachment 1865395View attachment 1865396View attachment 1865397View attachment 1865398
Babu usiniache
 
Mmh matumizi mabaya ya Watumishi. Sasa kumjali mwenzio hadi ndiyo nikuwekee mkono, khaaaaa
Niwekee mkono mtumishi. Pepo la ubahili tokaaa! Faya faya faya pepo la kutokumjali mwenzio tokaaa! Shandala la la la bobolimoku po po po pa pa pa faya faya tokaaaa!

Kanisa lako liko sehemu gani huko Mbeya? Au ni lile nyuma ya lile la Mbarikiwa Mwakipesile karibu na barabara kuu iendayo Uyole?
 
Back
Top Bottom