

Leo mji mzima unamjadili manara, kila nikipita kijiwe wanaongelea manara tuKikao hiki cha chakula cha mchana ndicho kinacholeta sintofahamu Simba.View attachment 1864698





Jizazi
Huyu ni baharia tu. Akishapata anachokitaka hutamsikia tena![]()
Wakati Manara anashabikia kuwa Morrison hana mkataba na Yanga,kumbe yeye mwenyewe hakuwa na mkataba na Simba.


.