Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,203
- 1,077,384
ukilala unaioteaga hiyo babu?Niliwahi kuhonga shilingi kumi mwaka 1962 na mbususu sikupata. Hiyo hela huwa inaniuma mpaka leo dadeki
View attachment 1864750
We acha tu mjukuu wangu. Hiyo ilikuwa pesa nyingi sana mwaka 1962. Hawa mabaharia wa sasa hawa nikisikia wanalalamika eti wamepigwa hela ya nauli huwa naishia kucheka tu.ukilala unaioteaga hiyo babu?
Hii itatung'oa meno, labda kama tukishalewa tunafungwa kamba tusianguke
babu,inabidi umtafute,muwe wote kwenye fainali ya uzeeni.We acha tu mjukuu wangu. Hiyo ilikuwa pesa nyingi sana mwaka 1962. Hawa mabaharia wa sasa hawa nikisikia wanalalamika eti wamepigwa hela ya nauli huwa naishia kucheka tu.
Ile hela yangu aliyeila sidhani kama alibakia salama kwa sababu nilihangaika mno kuipata