Niliwahi kufika lkn sio kiviiileDona! Mpaka unajua udaga, utakuwa uliwahi kufika kanda ya ziwa


Kuna mmoja akiwa busy anawapaka Ile dawa ya macho ya Mafuta.
Hiyo 8" aliyoibeba akiizoea si ndiyo baadaye tuingia sisi tusemwe viba100![]()






Kama huo ni ugali basi tuko pamoja
Bora umejistukia, kibao kinaweza kukugeukia wewe.Mods njooni huku kuna mtu anawabeep. Na mnavyopenda kugawa ban msiipoteze hii chance
Halafu wakija kweli si ajabu mi ndo nitaishia kulimwa ban. Mods ni shida!
Lodge nako kuna UKIMWINendeni lodgeView attachment 1861030

Yeah! Mods hawatabiriki!Bora umejistukia, kibao kinaweza kukugeukia wewe.
Na huoi uzee,unaogopa ukimwiLodge nako kuna UKIMWI![]()
Acha uwoga babu.Chukua hiyo mpendwa, utakuja kunikumbuka
Miaka 76 nioe mke nitamuweza kweli au unataka niwaolee mabaharia? Hunitakii mema mjukuu wanguNa huoi uzee,unaogopa ukimwiAcha uwoga babu.
