platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Sasa hapo pilau kwa Msukuma si ni kama matunda tu. Andaa na ugali tunakujaKaribu sana ..nitakuandalia pilau sato uje ushindwe wewe tu![]()
Sasa hapo pilau kwa Msukuma si ni kama matunda tu. Andaa na ugali tunakujaKaribu sana ..nitakuandalia pilau sato uje ushindwe wewe tu![]()
Balaa linaanzia kanisani, mkifika home ni kukuchoma moto tuPicha linaaanza![]()



Hiyo 8" aliyoibeba akiizoea si ndiyo baadaye tuingia sisi tusemwe viba100 😜. View attachment 1860635
South Africa, kila mja aliiba kinachomfaa.
Mahusiano ya sahivi ni vita tupuMahusiano yanachukua furaha
ZimbabweTanganyika
Tuwaite mods waje wakupige ya kweli kweli?
Mods njooni huku kuna mtu anawabeep. Na mnavyopenda kugawa ban msiipoteze hii chance
Waite.




