Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Kwa kweli hata miye sijapenda!
Nitafika mpendwa nikuje kutumaTunatoa huduma nchi nzima.
Hapa Dar tupo mtaa wa Msimbazi, mkabala na klabu ya Simba.
Dahh sasa hii bebe mpya niliyoipata ambayo kiuno 22,uzito kg 38 itakuwaje mwenzenu



Njoo tukuhudumieNitafika mpendwa nikuje kutuma
Wataziunganisha na super glue
😂 😂 😂Wataziunganisha na super glue
InenepesheDahh sasa hii bebe mpya niliyoipata ambayo kiuno 22,uzito kg 38 itakuwaje mwenzenu![]()



Ugali upi mnapendelea..wa udaga ,dona ama sembe???Sasa hapo pilau kwa Msukuma si ni kama matunda tu. Andaa na ugali tunakuja