Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Sio dimpozi.....nataka selfie yako mnyama.Umerusha dimpozi? Uwii nakuja!![]()
Sio dimpozi.....nataka selfie yako mnyama.Umerusha dimpozi? Uwii nakuja!![]()
Nimekwenda kweli na hiki ndicho nimekutana nachoSio dimpozi.....nataka selfie yako mnyama.



AminaEe nipo kwa mama bado sijaacha kunyonya,
Ni jambo la kumshukuru MUNGU kama unaendelea vizuri.



kama nakuona vile ulivyokimbia....umeangukia pua.


Aaaah waaapi!!!.....siwezi kuacha kunyonya yaan,....wanasemaga penzi la mama haliishiAmina
Naomba uache kunyonya na uondoke kwa mama yako bhana
Au niwekee vitu vichungu kwenye matiti/chuchu za mama kama vile alovera ili ukitaka kunyonya unakutana na uchungu mawardat ?



